ENZI HIZO: Unakumbuka nini unapoona basi hili la IKARUS?

hili ni UDA. Basi maarufu sana la kusafirisha abiria katika enzi za Uhuru. Inadaiwa kuwa lina historia kubwa sana katika usafiri wa Jiji la Dar es salaam, na hata nchi nzima kwa ujumla.
Najua wengi walikuwa hawajazaliwa, ila kwa wenye historia yoyote na Basi hili, au Usafiri huu kw ujumla, una yapi ya kushiriki nasi?

Hili ni Basi la Usafiri Dar es salaam, maarufu kama IKARUS. usafiri huu ulipata umaarufu zaidi miaka ya themanini mpaka tisini, nchini Tanzania na ulikuwa na historia ya kipekee kwa wakaazi wa jiji la Dar es salaam.

Hii ni mashine ya kukatia tiketi za mabasi hayo, ambazo huwa na kumbukumbu kamili ya tarehe pamoja na kiasi tozo cha nauli

Chapisha Maoni

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Mpya zaidi Nzee zaidi