Monalisa na Mashabiki zake wa #Team#Monalisa


Mfahamu Yvonne Cherrie (Monalisa) ambaye ameanza kuigiza tangu
mwishoni mwa miaka ya tisini. ameweza kudumu katika tasnia ya uigizaji
kutokana na Ubora wa hali ya juu.

licha ya kuonekana
katika filamu chache kulingana na waigizaji wengine, ameweza
kujinyakulia tuzo kadhaa kulingana na kazi alizozifanya.


Tazama video hii ikikuonesha baadhi tu ya tuzo alizoweza kushinda

Monalisa Tanzania

Hi! karibu katika blogsite yangu ya Monalisatanzania. upate kunifahamu japo kwa ufupi na kipekee kama shabiki au mpenzi wa kazi zangu. utapata habari, burudani na taarifa official kutoka kwangu. enjoy!

Chapisha Maoni

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Mpya zaidi Nzee zaidi